Back to home

Viongozi wa UDA wataka IEBC iongeze muda wa kusajili wapigakura

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 28, 2026
2h ago
Ikiwa zimesalia saa chache kabla ya shughuli ya usajili wa wapiga kura wapya kukamilika, imebainika kuwa vijana wengi katika kaunti ya Busia hawajajisajili. Wanachana wa UDA katika kaunti ya Busia wameitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kuzingatia kuongeza muda wa shuguli
Advertisement