Back to home

Watetezi wa haki waitaka IEBC kufanya hamasisho la kupiga kura zaidi

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 28, 2026
2h ago
Wanaharakati mjini Mombasa wametaka tume ya uchaguzi na mipaka IEBC kufanya hamasiho zaidi ili kuongeza idadi ya wapiga kura wapya. Zoezi hilo likitazamiwa kukamilika hii leo, wametaka mikakati zaidi kuwekwa ikizingatiwa kuwa wakenya wengi bado hawajajiandikisha. Wakiongea mjini
Advertisement