Back to home
Mbunge wa Kipipiri Wanjiku Muhia asisitiza hakukataa kufika mbele ya tume ya IEBC
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 27, 2026
1h ago
Mbunge wa Kipipiri Wanjiku Muhia amesisitiza kuwa hakukataa kufika mbele ya tume ya IEBC kujitetea dhidi ya madai ya uchochezi hapo jana.
Muhia amesema kuwa tume ya IEBC ilikuwa imempa chaguo la kujiwasilisha mwenyewe, au kuwakilishwa na mawakili wake.
Subscribe and watch NTV
Advertisement
Advertisement





