Back to home

Malipo ya wakulima wa kahawa yafika Ksh.7.4b Kirinyaga

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 28, 2026
3h ago
Wakulima wa kahawa kaunti ya Kirinyaga wanasherehekea baada ya mapato yao kufikia kiwango cha kihistoria cha shilingi bilioni 7.4 msimu huu. Malipo yalifikia kati ya shilingi 104 hadi 157 kwa kilo ya kahawa, huku wastani ukiwa shilingi 139 kwa kilo. Mafanikio hayo yanahusishwa na
Advertisement