Back to home
Familia Nyaribari Masaba yazika mgomba baada ya kushindwa kutoa mwili wa ndugu Nakuru
video
C
Citizen TV (Youtube)April 28, 2026
5h ago
Familia moja huko Nyaribari Masaba imelazimika kuandaa mazishi kwa kuzika mgomba wa ndizi baada ya juhudi za kuleta mwili wa mpendwa wao aliyefariki Nakuru kugonga mwamba miezi mitatu baada ya kifo chake. Jamaa za marehemu Obadiah Mokua ambaye mwili wake uko katika makafani moja
Advertisement
Advertisement





