Back to home
Kundi la wanawake kutoka Kaunti ya Murang’a limeamua kuhamasisha wananchi kudumisha amani 2027
video
C
Citizen TV (Youtube)April 29, 2026
2h ago
Huku joto la kisiasa likizidi kupanda taifa linapoelekea uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027, kundi la wanawake kutoka Kaunti ya Murang’a limeamua kuzunguka maeneo mbalimbali kuhamasisha wananchi kudumisha amani, mshikamano na utulivu.
Advertisement
Advertisement





