Back to home
Jaji Mohammed Warsame ateuliwa jaji wa mahakama ya upeo
video
C
Citizen TV (Youtube)April 30, 2026
1h ago
Jaji Mohamed Abdulahi Warsame ameteuliwa kuziba pengo lililoachwa wazi katika mahakama ya upeo kufuatia kifo cha jaji Ibrahim Mohammed.
Tume ya huduma za mahakama - jsc - imeelezea kuridhishwa kwake na utendakazi wa jaji Warsame, ambaye amekuwa akihudumu kama jaji wa mahakama ya
Advertisement
Advertisement




