Back to home

IEBC yazindua usajili wa wapiga kura wapya milioni 2.6

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 30, 2026
2h ago
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetangaza kusajili wapiga kura wapya milioni 2.6 huku ikiwarai Wakenya ambao hawajajisajili kufanya hivyo katika vituo vilivyoko kwenye maeneo bunge. Bonde la Ufa linaongoza katika idadi kubwa ya wapiga kura wapya, likifuatwa na Mlima Kenya
Advertisement