Back to home

Ogamba awaonya wakuu wa shule kuhusu ukiukaji wa mwongozo wa karo uliotolewa na serikali

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 30, 2026
2h ago
Waziri wa Elimu, Julius Migos Ogamba, amewaonya walimu wakuu wanaokiuka mwongozo wa karo uliotolewa na serikali na kuwaongezea wazazi mzigo wa karo bila idhini ya wizara hiyo. Akizungumza kufuatia sakata ya karo ya zaidi ya shilingi 120,000 inayotozwa na Shule ya Upili ya Wasicha
Advertisement