Back to home
Hazina ya kitaifa yapendekeza bajeti ya shilingi trilioni 4.8 kwa 2026/2027
video
C
Citizen TV (Youtube)May 1, 2026
1h ago
Hazina ya Kitaifa inapendekeza bajeti ya shilingi trilioni 4.8 katika mwaka wa kifedha wa 2026/2027 utakaonza mwezi Julai mwaka huu. Kwenye makadirio ya bajeti yaliyowasilishwa bungeni, Hazina ya Kitaifa inapendekeza kuongeza mgao wa serikali za kaunti kwa shilingi bilioni tano,
Advertisement
Advertisement



