Back to home

Gachagua atangaza azma ya kuwania urais 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 1, 2026
2h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua amesema kuwa atawania kiti cha urais mwaka ujao. Akizungumza huko Kitengela, Kaunti ya Kajiado, Gachagua amesema yuko tayari kugaragazana na Rais William Ruto katika mchuano wa Ikulu mwaka ujao na kuwataka wakazi wa Kajiado kumuunga mkono kuwa rais
Advertisement