Back to home
MCK yakemea wamiliki wa vyombo vya habari kwa kuchelewesha mishahara
video
C
Citizen TV (Youtube)May 2, 2026
1h ago
Baraza la Vyombo vya Habari Nchini (MCK) limewasuta baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari kwa kukosa kuwalipa wanahabari. Akizungumza katika Kaunti ya Nakuru, Mkurugenzi Mkuu wa baraza hilo, David Omwoyo, amekashifu vyombo vya habari kwa kutowajali wanahabari na mazingira wanay
Advertisement
Advertisement





