Back to home

Atwoli aunga mkono nyongeza ya mishahara iliyotangazwa na Ruto

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 2, 2026
1h ago
Katibu wa Chama cha Wafanyakazi COTU Francis Atwoli sasa amesema kuwa nyongeza ya mishahara iliyotangazwa hapo jana na Rais William Ruto itawafaidi wafanyakazi wote, wala si wale wa mapato ya chini pekee. Akizungumza Kaunti ya Kisumu hii leo, Atwoli alisema kuwa nyongeza hiyo ita
Advertisement