Back to home

Watu 4 wauguza majeraha kufuatia mkurupuko wa watu wakati wa ugavi wa chakula Makueni

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 4, 2026
2h ago
Wanawake wanne wanauguza majeraha mbalimbali kufuatia mkurupuko wa watu uliotokea kwenye zoezi la kugawa chakula cha msaada mjini Kikima eneo bunge la Mbooni kaunti ya Makueni. Wakaazi wa eneo hilo sasa wanaitaka serikali kuwacha kuwatumia wanasiasa kugawa chakula cha msaada na b
Advertisement