Back to home
Soko la Karurumo linakaribia kukamilika huko Embu
video
C
Citizen TV (Youtube)May 4, 2026
2h ago
Wakulima wa maembe katika Kaunti ya Embu wanatarajiwa kunufaika na kukamilika kwa soko la kisasa la Karurumo katika eneo bunge la Runyenjes. Mradi huo wa shilingi milioni 60 unalenga kupunguza hasara kwa wakulima wa maembe baada ya mavuno.
Wakulima wa kaunti ya Embu ni miongoni
Advertisement
Advertisement




