Back to home

Vijana Trans Nzoia wahimizwa kutokubali kutumiwa na wanasiasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 4, 2026
2h ago
Vijana katika Trans Nzoia wameanzisha mpango wa kutoa hamasisho kuhusu jinsi ya kukabiliana na visa vya wanasiasa kuwatumia kama wahuni. Badala yake Vijana wakihimizwa kutumia vipaji vyao kujikimu kimaisha. Wakizungumza baada ya mechi ya soka ya jamii katika Uwanja wa Ndura, vion
Advertisement