Back to home
Wakulima wa mwani kaunti ya Kwale wahimizwa kutumia mbinu za kisasa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 4, 2026
2h ago
Serikali ya kaunti ya Kwale kupitia idara ya kilimo na uvuvi imesema inaweka mikakati ya kuinua kilimo cha mwani ambacho kingali chini ikilinganishwa na mataifa mengine ya Afrika Mashariki, kwa sasa kaunti hiyo ikizalisha tani 146 pekee kila mwaka.
Akizungumza katika kongamano la
Advertisement
Advertisement





