Back to home
Mkutano wa faragha wa viongozi wakuu wa ODM unaendelea
video
C
Citizen TV (Youtube)May 4, 2026
2h ago
Kiongozi wa chama cha ODM Oburu Oginga anasema wakati umetimia kwa chama hicho kuungana na kuwa na msimamo mmoja wa kushiriki katika uchaguzi wa mwaka 2027. Oburu ambaye hakuhudhuria kongamano la chama hicho huko Mombasa, alituma ujumbe wake uliosomwa na Naibu wake Simba Arati, a
Advertisement
Advertisement




