Back to home
Maadhimisho ya siku ya uhuru wa wanahabari Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 4, 2026
2h ago
Mamia ya waandishi wa habari huko pwani chini ya mwavuli wa coast Media FC wamefanya maandamano ya amani mjini Mombasa kuadhimisha siku ya Uhuru wa wanahabari duniani.
Wakizungumza katika shule ya Mombasa Baptist baada kutoa mafunzo ya kitaaluma pamoja na kupanda miti wanahabari
Advertisement
Advertisement





