Back to home

Wanahabari kaunti ya Kisii washerehekea siku ya uhuru wa wanahabari duniani

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 4, 2026
2h ago
Waandishi wa habari kutoka eneo la Gusii kwa sasa wanaendelea na msafara wa amani katikati mwa mji wa Kisii kuadhimisha siku ya uhuru wa wanahabari duniani. Maadhimisho hayo pia yakitumika kuhamasisha umma kuhusu umuhimu wa wanahabari hususan wakati taifa linaelekea katika uchagu
Advertisement