Back to home
Familia ya Veronica Njeri katika eneo la Ruai inakumbana na changamoto tele
video
C
Citizen TV (Youtube)May 4, 2026
2h ago
Familia Ya Virginia Njeri inayoishi eneo la Ruai kaunti ya Nairobi inakumbana na changamoto mara mbili. Kwanza nyumba yao imejaa maji kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha, na pili kifo cha mumewe Njeri kufuatia ajali ya barabarani. Sasa familia ya mama huyu imesalia kupanga
Advertisement
Advertisement





