Back to home
Mshukiwa mkuu wa kifo cha Daktari Job Obwaka afikishwa mahakamani
video
C
Citizen TV (Youtube)May 4, 2026
2h ago
Mshukiwa aliyekamatwa kufuatia kifo cha Daktari Job Obwaka amefikishwa katika mahakama kuu ya Kibra. Mshukiwa huyo Beatrice Wangari tayari amefikishwa mahakamani huku Upande wa mashtaka ukitarajiwa kuomba muda zaidi kumzuilia. Marehemu Obwaka aliaga dunia siku ya ijumaa huko Kit
Advertisement
Advertisement





