Back to home
Washukiwa watatu wa uvamizi wa kanisa la All Saints wafikishwa mahakamani
video
C
Citizen TV (Youtube)June 16, 2026
1h ago
washukiwa watatu kati ya watano waliokamatwa kwa madai ya kuvamia mkutano ndani ya kanisa la all saints cathedral hapa nairobi wamefikishwa katika mahakama ya kibra.
Advertisement
Advertisement





