Back to home

Utata wazuka kuhusu wanafunzi waliokosa kuendelea na masomo

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 5, 2026
2h ago
Jioni hii inabainika kuwa baadhi ya wanafunzi walioahidiwa nafasi za shule ya sekondari ya juu bila karo wala sare hawakuendelea na masomo. Baadhi ya wanafunzi hao kutoka mtaa wa Mukuru hapa Nairobi wanasema walifukuzwa shule siku chache baada ya kupelekwa na maafisa wa serikali.
Advertisement