Back to home

Mariga azungumzia madai ya ubadhirifu FKF

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 5, 2026
3h ago
Naibu Rais wa Shirikisho la Kandanda nchini, Mcdonald Mariga, amezungumzia madai ya ubadhirifu wa fedha katika Shirikisho la Kandanda la Kenya (FKF) chini ya uongozi wa Rais Hussein Mohammed. Sasa inadaiwa kuwa shilingi milioni 43 zililipwa kwa kampuni ya bima ya Riskwell na kwam
Advertisement