Back to home
Watu watatu wakamatwa Mlolongo, Machakos, kwa kuachilia maji ya kiwanda mtoni
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
1h ago
Mamlaka ya mazingira (NEMA) imefunga kiwanda cha kutengeneza kemikali cha Shreeji Chemicals Ltd katika mtaa wa Mlolongo kufuatia operesheni iliyofanywa kwenye mikondo ya maji ya mto Nairobi.
Advertisement
Advertisement





