Back to home

Wajane Malindi waitaka serikali kuwalinda kisheria

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 6, 2026
1h ago
Wajane waliopoteza wake au waume zao katika Kaunti Ndogo ya Malindi wameitaka serikali kuwalinda kisheria wakisema kuwa ni miongoni mwa makundi yaliyotengwa humu nchini. Kundi hilo linasema linakabiliwa na changamoto nyingi katika jamii kama vile unyanyapaa, vitisho na unyanyasaj
Advertisement