Back to home
Wakulima wa maziwa katika Kaunti ya Nandi wanataka serikali kuwekeza katika sekta ya Maziwa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 30, 2026
2h ago
Wakulima wa maziwa katika Kaunti ya Nandi wanataka serikali kuwekeza katika vifaa vya kuhifadhi maziwa katika maeneo mbalimbali ya kaunti hiyo, ili kupunguza hasara inayotokana na kuharibika kwa maziwa mbali na kukabiliana na unyanyasaji kutoka kwa madalali.
Advertisement
Advertisement





