Back to home
Wakazi wa eneo la Sirwa-Posta katika kaunti ya Nandi walalamikia hali mbaya ya barabara
video
C
Citizen TV (Youtube)April 24, 2026
4h ago
Wakazi wa eneo la Sirwa-Posta katika kaunti ya Nandi wamefunga sehemu ya barabara ya Chavakali kwenda Kapsabet wakilalamikia hali mbaya ya barabara hiyo.
Advertisement
Advertisement





