Back to home

Baadhi ya wakazi katika kaunti ya Nyamira walalamikia barabara mbovu

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 22, 2026
2h ago
Baadhi ya wakazi katika kaunti ya Nyamira wameiomba serikali ya kaunti hiyo kuharakisha mpango wa kukarabati barabara inayoendelea, wakidai shughuli za uchukuzi zimeadhirika pakubwa haswa msimu huu wa mvua. Wakizungumza na Runinga ya Citizen wakazi hao wamedai kushuhudia changamo
Advertisement