Back to home
Askofu wa ACK Mbeere ataka serikali kuu isimamie sekta ya afya
video
C
Citizen TV (Youtube)April 17, 2026
3h ago
Kanisa la Kiangilikana Dayosisi ya Mbeere kaunti ya embu, sasa linatoa wito wa kurejeshwa kwa huduma za afya kwa serikali ya kitaifa, kwa sababu ya kuzorota kwa utoaji wa huduma hizo katika kaunti mbalimbali.
Advertisement
Advertisement





