Back to home
Sakata ya mafuta yawameza wakuu katika sekta ya mafuta nchini
video
N
NTV Kenya (Youtube)April 4, 2026
4h ago
Maswali mazito sasa yanaibuliwa kuhusu uwajibikaji katika viwango vya juu vya serikali, kufuatia mabadiliko ya hivi karibuni katika sekta ya mafuta humu nchini, yanayohusishwa na kile kinachoonekana kuwa mojawapo ya kashfa kubwa zaidi za ufisadi katika miaka ya hivi karibuni.
S
Advertisement
Advertisement





