Back to home
Gachagua ajigamba uwezo wa kumshinda Rais Ruto uchaguzi ujao
video
C
Citizen TV (Youtube)May 6, 2026
1h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua sasa anasema ni yeye tu ndiye mwenye misuli kamili kumwondoa Rais William Ruto debeni mwaka ujao. Gachagua akisema kuwa anaamini ana uungwaji mkono zaidi ya vinara wengine wa upinzani kusimama dhidi ya Rais Ruto na kutwaa ushindi. Hata hivyo amewara
Advertisement
Advertisement




