Back to home

Wanaharakati wakosoa matamshi ya Rais Samia kuhusu wanaharakati na vijana wa Gen-Z

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 6, 2026
1h ago
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu nchini wamekashifu matamshi ya Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu kuwapiga wanaharakati na vijana wa Gen-Z wanaotetea demokrasia nchini Kenya na Tanzania. Wanaharakati hao wamesema kuwa Rais Suluhu anaeneza ukandamizaji Afrika Mas
Advertisement