Back to home
Wakaazi wa Magarini wamefanya maandamano ya amani kupinga unyakuzi wa eneo la umma ufuoni
video
C
Citizen TV (Youtube)May 7, 2026
2h ago
Wakaazi wa eneo la Mjanaheri kaunti ndogo ya Magarini wamefanya maandamano ya amani wakipinga madai ya mpango wa mwekezaji kunyakua ufuo wa umma.
Wakiwa wamebeba mabango, wakazi hao walimshutumu mwekezaji huyo kwa hatua hiyo. Kulingana na wakazi hao eneo hilo ni la umma na lkivut
Advertisement
Advertisement





