Back to home

Wakazi Ciagiini wazuia mazishi wakidai haki kwa kifo cha kijana

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 7, 2026
1h ago
Kizaazaa kilishuhudiwa katika kijiji cha Ciagiini, Mwea, Kaunti ya Kirinyaga baada ya wakazi wenye hasira kuzuia mazishi ya kijana aliyedaiwa kuuawa na mhubiri. Wakazi hao waliandamana na mwili wa marehemu Martin Kara hadi katika Kituo cha Polisi cha Ciagiini wakitaka haki itend
Advertisement