Back to home

Kamati ya bunge kuhusu nyumba yazuru Kwale kukagua miradi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 8, 2026
2h ago
Kamati ya bunge la kitaifa kuhusu nyumba, ujenzi na mipangilio ya miji imesema nyumba za bei nafuu zinazojengwa kaunti ya Kwale pamoja na soko la Mvindeni, zinatekelezwa kulingana na matarajio ya bunge na kwa manufaa ya mwananchi. Akizungumza baada ya kuongoza kamati hiyo kukagua
Advertisement