Back to home
Maadhimisho ya siku ya kina mama na pongezi kabarnet
video
C
Citizen TV (Youtube)May 10, 2026
4h ago
Ulimwengu leo umeadhimisha siku ya kina mama huku mkewe naibu rais, daktari Joyce Kithure, akiongoza maadhimisho hayo katika makazi yake rasmi eneo la Karen hapa Nairobi. Sherehe hizo za siku nzima zilikuwa za kuwapongeza na kuwathamini kina mama kwa majukumu yao kwa jamii.
Haya
Advertisement
Advertisement





