Back to home
Marais na viongozi wa mataifa kadhaa wamewasili Nairobi kwa kongamano la Africa Forward Summit
video
C
Citizen TV (Youtube)May 11, 2026
1h ago
Kongamano la Afrika Forward limeanza rasmi hapa jijini Nairobi. Rais William Ruto ni mwenyeji wa kongamano hilo linalohudhuriwa na marais wa mataifa 20 barani Afrika na pia rais wa Ufaransa Emmanuel Macron. Kongamano hilo ni la kusisimua biashara katika sekta za kawi, muundo msin
Advertisement
Advertisement





