Back to home

Zaidi ya familia 10 zakadiria hasara ya moto wa usiku eneo la Litein, Kericho

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 11, 2026
1h ago
Familia zaidi ya kumi huko Litein katika eneobunge la Bureti wanakadiria hasara kubwa baada ya nyumba zao kuteketezwa na moto usiku wa kuamkia leo. Kulingana na walioshuhudia tukio hilo, moto ulizuka wakati wa usiku wakazi walipokuwa wamelala. Mama mmoja anauguza majeraha katika
Advertisement