Back to home
Polisi nakuru wanasa ethanol na pombe haramu
video
C
Citizen TV (Youtube)May 11, 2026
1h ago
Watu wawili wamekamatwa huku lita 230 za kemikali aina ya ethanoli na lita ishirini za pombe aina ya chang’aa, kunaswa katika operesheni iliyofanyika jumapili jioni katika eneo la Murogi – Free Area na mwariki eneo bunge la Nakuru Mashariki. Waliokamatwa ni wagema wawili mama
Advertisement
Advertisement





