Back to home
Watu 2 wakamatwa kwa kuhatarisha maisha ya wakazi Malindi
video
C
Citizen TV (Youtube)May 11, 2026
1h ago
Manispaa ya Malindi imewakamata watu 2 kwa kosa la kuchafua mazingira baada ya kuunda Mabomba kinyume na sheria na kuelekeza Maji machafu barabarani.
Akithibitisha kisa hicho, maneja wa manispaa ya Malindi Dadu Chome amesema hatua hiyo inafuata msako mkali unaotekelezwa na manis
Advertisement
Advertisement





