Back to home

Naibu gavana wa Kakamega Ayub Savula amtetea katibu wa COTU Francis Atwoli

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 11, 2026
2h ago
Naibu gavana wa kaunti ya Kakamega Ayub Savula amemuonya kiongozi wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua dhidi ya kumshambulia katibu mkuu wa COTU. Naibu gavana huyo anasema kwamba matamshi ya rigathi dhidi ya atwoli yanamkosea heshima kiongozi huyo ambaye anashikilia nafasi ya viong
Advertisement