Back to home

Esther Kioko atwaa taji la wanawake katika makala ya sita ya mbio za marathon za kupokezana kijiti

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 11, 2026
1h ago
Esther Kioko wa timu ya Podium Crashers alitwaa taji la wanawake katika makala ya sita ya mbio za marathon za kupokezana kijiti baada ya kukimbia kwa muda wa saa 2 dakika 31 na sekunde 29. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by K
Advertisement