Back to home

Polisi kaunti ya Kitui wawakamata watu wawili wakisafirisha tani 16 za ngozi za punda

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 12, 2026
2h ago
Watu wawili wametiwa mbaroni na maafisa wa polisi wanaopiga doria mipakani katika eneo la Kanyonyoo kaunti ya Kitui wakisafirisha tani 16 za ngozi za punda kwa lori.
Advertisement