Back to home
Ufadhili wa kilimo Afrika
video
C
Citizen TV (Youtube)May 12, 2026
2h ago
Licha ya Afrika kuwa na takriban asilimia 60 ya ardhi isiyotumika kwa shuguli za kilimo, bara hili bado linakabiliwa na pengo kubwa la ufadhili wa kilimo la dola bilioni 90 kila mwaka, hali ambayo wataalam wanasema inadidimiza uzalishaji wa chakula.
Advertisement
Advertisement





