Back to home
Mshukiwa wa mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu cha Jaramogi Oginga Odinga akamatwa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 12, 2026
2h ago
Mshukiwa wa mauaji ya Alice Rianga, mwanafunzi wa chuo kikuu aliyepatikana ameuawa msituni huko Bondo, amekamatwa. Mshukiwa huyo, raia wa Tanzania, alikamatwa baada ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Jaramogi Oginga Odinga kugoma hapo jana. Marehemu, ambaye alikuwa mwanafunzi wa mwak
Advertisement
Advertisement





