Back to home
Serikali ya kenya yampigia debe Jaji Njoki Ndung'u kujiunga na ICC
video
C
Citizen TV (Youtube)May 13, 2026
1h ago
Jaji wa Mahakama ya juu Njoki Ndung'u anapigiwa upatu kujiunga na mahakama ya jinai ya kimataifa ICC iliyoko uholanzi. serikali ya Kenya inaunga mkono azma ya jaji Ndung'u ya kujiunga na mahakama hiyo.
Advertisement
Advertisement



