Back to home
Kijana wa Kenya akwama Urusi baada ya kujiunga na jeshi la vita
video
C
Citizen TV (Youtube)April 21, 2026
3h ago
Familia moja kutoka kijiji cha Kodumo kaunti ya Homa Bay inaitaka serikali, kuwasaidia kumpata jamaa yao aliyekwama nchini Urusi. Richard Ouma, mwenye umri wa miaka thelathini alisafiri mwaka jana kama mtalii, na baadaye kuifahamisha familia yake kuwa amepata kazi katika kikosi c
Advertisement
Advertisement





