Back to home
Serikali ya kaunti ya Kajiado yatolea shule za upili ufadhili wa ksh. 50m
video
C
Citizen TV (Youtube)May 14, 2026
4h ago
Wanafunzi 12,000 wa shule za sekondari na vyuo vikuu kutoka kaunti ya Kajiado wapata afueni ya karo baada ya wizara ya elimu ya kaunti hiyo kutoa shilingi million 50M kugharamia karo ya muhula wa pili ya wanafunzi hao.
Advertisement
Advertisement





